TAZAMA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO AWAMU YA PILI



Screen Reader Compatibility Information

Due to the method this document is displayed on the page, screen readers may not read the content correctly. For a better experience, please download the original document and view it in the native application on your computer.


1
 JAMHURI YMUUNGANWA TANZANIAOFISI YA RAISTAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAATAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU UCHAGUZI WA WANAFUNZKUJIUNGA NKIDATO CHA TANO 2017 AWAMU YAPILI (
SECOND SELECTION)
Uchaguzi wa wanafunzi wa kujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi kwamwaka 2017 umehusisha wanafunzi
93,019
kati yao wasichana ni
37,688
 na wavulana
55,331
Wanafunzi
1,933
 wakiwemo wasichana
1,132
 na wavulana
801
 walikosa sifaza kuchaguliwa kwa kuwa na umri mkubwa (zaidi ya miaka 25) na kukosa tahasusi.Mnamo tarehe Juni, 2017 OR-TAMISEMI ilitangaza matokeo ya wanafunzi kujiungana Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi kwa awamu ya kwanza njumla yawanafunzi waliopangiwa ni
56,415
 sawa na 60.60% ya wanafunzi wote wenye sifa,wakiwemo wasichana
25,624
 na wavulana
30,791 wali.
 Wanafunzi
34,727
wakiwemo
wasichana
 10,932
na wavulana
 23,795
hawakuchaguliwa katika awamu ya kwanza kwa kukosa nafasi. Kati ya haowanafunzi
14,768
 wakiwemo wasichana
6,763 (
Sayansi
 2,171
na Sanaa
 4,592)
nawavulana
8,005 (
Sayansi
3,063
na Sanaa
 4,942)
wamechaguliwa kujiunga na Kidatocha Tano katika awamu ya pili baada ya kupatikana nafasi zilizotokana nawanafunzi ambao hawakuripoti katika awamu ya kwanza; na kwenye shulezilizoongeza miundombinu ya Kidato cha Tano.Aidha, wanafunzi
19,959 (
wakiwemo
wasichana
 4,169
na
wavulana
 15,790)
 hawajapangiwa shule kutokana na kukosekana kwa nafasi.Wanafunzi wote waliochaguliwa wataanza muhula wa kwanza wa masomo tarehe 24Agosti, 2017 na hakutakuwa na mabadiliko yoyote ya shule. Wanafunzi wotewanatakiwa kuripoti katika shule walizopangwa kwa wakati.

2
Endapo mwanafunzi atachelewa kuripoti hadi tarehe 08 Septemba 2017, atakuwaamepoteza nafasi. Wanafuni wote waliochaguliwa kujiunga na Kidatocha Tano,wanatakiwa ku-
download
 fomu ya kujiunga na shule husika kwenye Tovuti ya OR-TAMISEMI.Orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano mwaka 2017katika awamu ya pili pamoja na fomu za kujiunga na shule (joining instructions)inapatikana kwenye tovuti ya Ofisi ya Rais -TAMISEMI, www.tamisemi.go.tz 
Imetolewa na:Katibu Mkuu,Ofisi ya Rais
TAMISEMI23 Agosti, 2017

Comments

Popular posts from this blog

WAZIRI ANAESHUGHULIKIA MASUALA YA AFRIKA KATIKA WIZARA YA MAMBO YA NJE YA UINGEREZA AFANYA ZIARA YA SIKU MBILI NCHINI

WALIMU WAWILI MBARONI KWA KOSA KUFANYA MAPENZI NA WANAFUNZI